Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » HUYU HAPA KUULIZWA IKIWA SIMBA SC ITABUMA MSIMU MPYA
    KITAIFA

    HUYU HAPA KUULIZWA IKIWA SIMBA SC ITABUMA MSIMU MPYA

    ChikaoBy ChikaoAugust 13, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    KUELEKEA msimu mpya wa 2025/26 ni Fadlu Davids, Kocha Mkuu wa Simba SC ameachiwa msala kwenye suala la usajili baada ya kupewa jukumu hilo kuhakikisha kwamba kila kitu anasimamia mwenyewe.

    Simba SC imeweka kambi Misri kwa maandalizi ya msimu mpya unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa huku wakifanya usajili wa wachezaji wapya ikiwa ni Jonathan Sowah aliyekuwa Singida Black Stars, Morice Abraham, Anthony Mligo na kuna wengine wapo kwenye majaribio.

    Kitendo cha mabosi wa Simba SC kubainisha kuwa ambaye anasimamia usajili kwa asilimia 100 ni sawa na kumuachia msala kocha huyo jambo lolote likitokea kwa wachezaji kufeli mzigo ataangushiwa yeye.

    Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC amesema kuwa suala la usajili kwa Simba SC lipo mikononi mwa benchi la ufundi.

    “Benchi la ufundi linasimamia suala la usajili kwa kila hatua hivyo kwa wakati huu tumeamua iwe hivyo na kila usajili unaofanyika unafuatiliwa kwa umakini na benchi la ufundi chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids.”

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleSINGIDA BLACK STAR KULIFANYA TAMASHA LA SINGIDA BIG DAY ARUSHA
    Next Article CAF YATOZA KENYA FAINI YA MILIONI 127, YAONYA KUHAMISHIA MECHI NJE

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.