Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป SINGIDA BLACK STAR KULIFANYA TAMASHA LA SINGIDA BIG DAY ARUSHA
    KITAIFA

    SINGIDA BLACK STAR KULIFANYA TAMASHA LA SINGIDA BIG DAY ARUSHA

    ChikaoBy ChikaoAugust 13, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Singida
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Klabu ya Singida Black Stars imetangaza rasmi kuwa tamasha lao la kila mwaka la ‘Singida Big Day’ litafanyika mwaka huu kwa mara ya kwanza jijini Arusha katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, tarehe 6 Septemba 2025.

    Black Stars wanafanya tamasha hilo nje ya Singida ni kufuatia ukarabati unaoendelea katika uwanja wa Airtel Stadium na CCM LITI mkoani Singida pamoja na lengo la kupanua wigo wa mashabiki wa timu hiyo kutoka kanda ya Kaskazini na kuimarisha hadhi ya Singida Black Stars kitaifa.

    Tamasha hilo litafanyika matukio muhimu kama utambulisho wa kikosi kipya cha Singida Black Stars pamoja na ripoti ya usajili wa msimu wa 2025/26 na mechi ya kirafiki kati ya Singida Black Stars na timu ya kimataifa.

    Singida Black Stars
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleISAK KUTOKUICHEZEA TENA NEWCASTLE HATAKAMA AKIKOSA TIMU
    Next Article HUYU HAPA KUULIZWA IKIWA SIMBA SC ITABUMA MSIMU MPYA

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.