Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » Taifa Stars kuvuna Bilioni 1 wakitwaa ubingwa wa CHAN.
    KITAIFA

    Taifa Stars kuvuna Bilioni 1 wakitwaa ubingwa wa CHAN.

    ChikaoBy ChikaoJuly 25, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Taifa Stars
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 🇹🇿 Dkt. Samia Suluhu Hassan atatoa kiasi cha shilingi Bilioni 1 Endapo Tanzania ‘Taifa Stars’ itabeba ubingwa wa mashindano ya CHAN 2024 yatakayoanza kutimua vumbi Agosti 2 mwaka huu.

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Palamagamba Kabudi amethibitisha hilo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya michuano hiyo kwenye dimba la Benjamini Mkapa siku ya leo.

    “Naomba niutangazie umma wa Tanzania kuwa katika kuchagiza hamasa kwa Timu yetu ya Taifa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan ametoa ahadi ya donge nono la fedha Shilingi Bilioni siyo Milioni Bilioni 1 kwa vijana wetu wa Taifa Stars iwapo watafanikiwa kutwaa ubingwa wa mashindano haya ya CHAN” Amesema Waziri Kabudi.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticlePACOME ZOUZOUA KUBAKI YANGA MPAKA 2027
    Next Article Gwiji wa mieleka Duniani Hulk Hogan afariki Dunia.

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.