HomeKITAIFANzengeli Afanya Mazoezi na Yanga Princess

Nzengeli Afanya Mazoezi na Yanga Princess

Wakati huu programu za mazoezi za timu za Ligi kuu wanaume zikiwa zimesimama na wachezaji wengi wakiwa kwenye majukumu ya timu zao za taifa kwenye michuano ya AFCON huku wengine wakiwa mapumziko, mchezaji kiraka wa Yanga SC Max Ngengeli ameonekana akifanya mazoezi va timu ya wanawake ya Yanga.

Kupitia kurasa zao za mitandao ya kijamii Yanga Princess jana walichapisha picha za Max akifanya mazoezi na timu hiyo inayojiandaa na mechi ya Ligi kuu wanawake itakazoendelea kesho tarehe 22 dhidi ya Geita Gold Queens.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Most Popular

Recent Comments

Web Development Company in Kochi,Kerala on NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE