Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » MIKÊL OBI AUNGA MKONO OKOCHA KUWA RAIS WA SHIRIKISHO LA SOKA NIGERIA
    KIMATAIFA

    MIKÊL OBI AUNGA MKONO OKOCHA KUWA RAIS WA SHIRIKISHO LA SOKA NIGERIA

    ChikaoBy ChikaoSeptember 13, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Mchezaji wa zamani Nigeria Mikêl Obi ameunga mkono suala la nyota wa zamani wa taifa hilo Jay Jay Okocha kuhitaji kuwa Rais wa shirikisho la soka nchini humo.

    Mikêl Obi “Ninajiunga na watu wa nigeria walio ughaibuni kumtawaza bwana, Austin Jãy Okōcha kama mwenyekiti mpya wa Ñff, nataka turudi nyumbani na kufanyia kazi masuala yetu ya soka kwa ujumla”

    “Tutaleta wawekezaji kuwekeza katika soka letu, kuifanya iwe ya ushindani, kuweka kiwango cha ligi ya taifa, nitakuwa mtu mwenye furaha zaidi kuona bwana Jãy akifanikiwa katika safari hii”

    alisema Mikel kupitia kipindi chake cha mtandaoni Obi one Jumatano tarehe 10 Septemba 2025.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticlePITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 13,2025
    Next Article KOCHA FADLU AFUNGUKA MIPANGO YAKE KWENYE NGAO YA JAMII

    Related Posts

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    March 24, 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    March 20, 2026

    RICHARLISON SHUJAA WA TOTTENHAM VS LIVERPOOL, WAIPINGIZA MAKALI

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.