Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » MBEBA MIKOBA YA AZIZ KI YANGA SC BALAA LAKE ZITO
    KITAIFA

    MBEBA MIKOBA YA AZIZ KI YANGA SC BALAA LAKE ZITO

    ChikaoBy ChikaoSeptember 5, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    INGIZO jipya ndani ya kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Romain Folz anatajwa kuwa na balaa zito kwenye uwanja wa mazoezi.

    Ni kiungo ambaye anatajwa kuwa mbeba mikoba ya nyota Aziz Ki ambaye hatakuwa ndani ya kikosi cha Yanga SC msimu wa 2025/26 baada ya kupata changamoto mpya.

    Anaitwa Mohammed Doumbia inaelezwa kuwa katika kambi ya timu hiyo iliyopo Kijiji cha Avic Town, Kigamboni anafanya kazi kubwa katika uwanja wa mazoezi ikiwa ni balaa zito.

    Doumbia ni kati ya wachezaji wapya waliosajiliwa Yanga SC msimu ujao, amekuja kuwa mrithi wa Stephen Aziz Ki aliyeuzwa msimu uliopita kuelekea Wydad Casablanca ya  Morocco.

    Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga SC amesema kuwa wachezaji wote kambini wanafanya kazi kubwa kuelekea msimu mpya hivyo wanaamini kazi itakuwa kubwa ndani ya uwanja.

    “Wachezaji wote waliopo katika kikosi cha Yanga SC wanafanya kazi kubwa kwenye kutimiza majukumu hilo lipo wazi. Sio Doumbia na wengine kazi yao ni kubwa chini ya benchi la ufundi na tunaamini tutakuwa na mwendo mzuri msimu mpya,”.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticlePaul Pogba rasmi kukiwasha ligi ya Mabingwa Ulaya.
    Next Article NEYMAR AACHIWA URITHI WA TRIL 2+ NA MTU ASIEMJUA

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.