Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป YANGA SC WAPO KAZINI, KUMSHUSHA WINGA WA KAZI
    KITAIFA

    YANGA SC WAPO KAZINI, KUMSHUSHA WINGA WA KAZI

    ChikaoBy ChikaoAugust 8, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    KLABU ya Yanga ipo katika mazungumzo ya mwishoni katika kuipata saini ya winga wa Singida Black Stars, Edmund John ili awe sehemu ya kikosi hicho katika msimu ujao.

    Inadaiwa makubaliano binafsi kati ya mchezaji na Yanga tayari yamekamilika na mchezaji yupo tayari. Nyota huyo alikuwa tishio katika mchezo wa Nusu Fainali wa Kombe la CRDB dhidi ya Simba.

    Yanga wamempatia mkataba wa miaka mitatu winga huyo, kilichobakia makubaliano kati ya Yanga na Singida Black Stars yapo hatua za mwishoni kukamilika ili nyota huyo asaini.

    Tayari Yanga SC ipo kambini kwa maandalizi ya msimu mpya wa 2025/26 wakiwa kwenye mazoezi ya awali kuelekea msimu mpya.

    Yanga SC ni mabingwa watetezi kwa msimu ujao baada ya kutwaa taji msimu wa 2024/25 wakiwa na pointi 82 baada ya mechi 30.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleTANZANIA VS MADAGASCAR CHAN 2024 KWA MKAPA KESHO
    Next Article MALI MPYA YA SIMBA NDIO NAHODHA WA TIMU YAKE YA TAIFA

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.