Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป TETESI ZA SOKA LEO JUMANNE TAREHE 05-08-2025
    TETESI ZA SOKA

    TETESI ZA SOKA LEO JUMANNE TAREHE 05-08-2025

    ChikaoBy ChikaoAugust 5, 202502 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Mshambuliaji wa Slovenia kutoka RB Leipzig, Benjamin Sesko (22), anatumia mbinu za kisiasa katika usajili kwa kuzitumia Newcastle na Manchester United kuzipambanisha ili apate dili bora zaidi.

    Newcastle wameonyesha nia mpya ya kumsajili beki wa kati wa England, Marc Guehi, kwa ofa ya takriban pauni milioni 40, lakini Crystal Palace wanataka pauni milioni 50 ili kumuachia mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25.

    Kocha David Moyes anataka kufanya usajili wa hadi wachezaji sita zaidi kwa ajili ya Everton, ikiwa ni pamoja na viungo wa kati wawili na wachezaji wa pembeni wawili.

    Tottenham wameambiwa watalazimika kulipa euro milioni 30 (pauni milioni 26) ili kumsajili kiungo wa Hispania Marc Casado (21) kutoka Barcelona.

    Winga wa Brazil Rodrygo (24) anataka kubaki Real Madrid licha ya kuvutiwa na Tottenham, Arsenal na Liverpool.

    Crystal Palace wanakabiliana na ushindani kutoka Juventus katika harakati za kumsajili beki wa kulia wa Girona, Arnau Martinez (22) raia wa Hispania.

    Kiungo wa kati wa Napoli na Sweden, Jens Cajuste (25), anapendelea kurejea Ipswich Town kuliko kwenda Burnley au ligi ya Saudi Arabia.

    Stuttgart wanakaribia kufanikisha dili la kumsajili kiungo wa kati wa Ureno, Fabio Vieira (25), kutoka Arsenal.

    Porto walivutiwa na beki wa Poland Jakub Kiwior (25), lakini walikataa kutimiza thamani ya euro milioni 30 (pauni milioni 26) iliyowekwa na Arsenal.

    Tottenham wanatataka kumuuza kiungo wa kati kutoka Mali, Yves Bissouma (28), ili kutoa nafasi kwa Conor Gallagher, kiungo wa kati wa England mwenye umri wa miaka 25 kutoka Atletico Madrid.

    Liverpool wanafuatilia maendeleo ya beki wa Brentford na timu ya taifa ya Ireland, Nathan Collins (24).

    West Ham wamewasilisha ofa mpya ya pauni milioni 10 kwa Botafogo ili kumsajili kipa wa Kibrazil John Victor (29).

    Bayer Leverkusen wanamtaka mshambuliaji wa Denmark wa Manchester United, Rasmus Hojlund (22), lakini wanakumbana na ushindani kutoka AC Milan, Inter Milan na Juventus.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleSAMATTA KUCHEZA LIGI KUU YA UFARANSA
    Next Article RASMI: CLEMENT MZIZE KUUZWA KWA WAARABU TIMU HII

    Related Posts

    SIMBA MBONI KUMALIZANA NA BEKI HUYU WA KAZI KUTOKA AL HILAL

    January 11, 2026

    Rasmi Clatous Chama Atibitisha Kurejea Simba

    January 2, 2026

    Done Deal: Simba Wamuuza Jean Ahoua Milioni 300 Kwenda Raja Casablabca, Fadlu Asuka Mpango Mzima

    December 15, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.