Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.
    KIMATAIFA

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    ChikaoBy ChikaoMarch 20, 202601 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka la Senegal Abdoulaye Sow ameweka wazi msimamo wa Taifa lake la Senegal kuhusiana na maamuzi ya Kamati ya Rufaa ya CAF ya kuwapa ubingwa wa AFCON 2025 Timu ya taifa ya Morocco.

    “Kombe halitaondoka nchini! Shirikisho la soka Afrika limeoza, na majibu kutoka duniani kote baada ya uamuzi huu yanaonyesha hasira kubwa. Mapambano bado hayajaisha”.

    “Nataka kuwahakikishia watu wote wa Senegal. Senegal iko upande wa haki na ushindi.”Amesema Sow.

    Taarifa kutoka Nchini humo zinaeleza kuwa Senegal wamepanga kuongeza ulinzi kwenye kombe hil

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleFIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    Related Posts

    RICHARLISON SHUJAA WA TOTTENHAM VS LIVERPOOL, WAIPINGIZA MAKALI

    March 16, 2026

    WEST HARM WAISHIKILIA MAN CITY, MBIO ZA UBINGWA ZAPAMBA MOTO

    March 16, 2026

    “Reece James ni beki bora zaidi wa kulia Duniani”-Rosenior.

    March 15, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    AUDIO Hanstone Ft Nippi – Usijisumbue DOWNLOAD MP3

    Refa Aliyeinyima Singida Penati Dhidi ya Simba Afungiwa Mizunguko Mitatu

    Shabiki wa Yanga Afungiwa Miezi 12 Kwa Uharibifu wa Mali

    Refa Aliyeinyima Yanga Penati Afungiwa Mizunguko Mitatu

    Senegal Wanyang’anywa Ubingwa wa AFCON Kwa Aibu Kubwa! Morocco Washinda Mezani

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.