Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » SAMATTA KUCHEZA LIGI KUU YA UFARANSA
    KITAIFA

    SAMATTA KUCHEZA LIGI KUU YA UFARANSA

    ChikaoBy ChikaoAugust 5, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Samatta
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Mbwana Samatta ameripotiwa kuwa kwenye hatua za mwisho kujiunga na klabu ya Le Havre AC inayoshiriki Ligi Kuu nchini Ufaransa (Ligue 1).

    Samatta ambaye ni nahodha wa timu ya taifa Tanzania ‘Taifa Stars’ amemaliza mkataba na waliokuwa waajiri wake timu ya PAOK Thessaloniki kutoka Ugiriki aliyokuwa aliokuwa akiwatumikia kwa misimu miwili iliyopita.

    L’Équipe imeripoti kuwa Samatta tayari amewasili nchini Ufaransa kukamilisha dili hilo la kujiunga na klabu hiyo ya Normandy.

    Baada ya kuweka historia nyingi sasa Captain Diego anaenda kuweka Rekodi nyingine mpya ya kuwa mchezaji wa Kwanza raia wa Tanzania kucheza Ligue 1, ambayo Mabingwa watetezi ni klabu ya Paris Saint Germain inayoelezwa kuwa ndio Klabu bora kwa sasa Duniani.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleAHMED AZUNGUMZIA JUU YA TAARIFA ZA MPANZU KUTOPOKEA SIMU
    Next Article TETESI ZA SOKA LEO JUMANNE TAREHE 05-08-2025

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.