Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป ISHU YA AUCHO NA YANGA YAFIKIA HAPA KWA SASA
    KITAIFA

    ISHU YA AUCHO NA YANGA YAFIKIA HAPA KWA SASA

    ChikaoBy ChikaoJuly 17, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    KHALID Aucho kiungo mkabaji wa Yanga SC huenda akaongeza mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia timu hiyo yenye maskani yake Jangwani.

    Yanga SC ni mabingwa wa ligi msimu wa 2024/25 na miongoni mwa wachezaji ambao walikuwa kwenye kikosi cha kwanza ni Aucho.

    Baada ya mechi 30 ambazo ni dakika 2,700, Aucho alicheza mechi 22 akikomba dakika 1,735. Katika mabao 83 yaliyofungwa na Yanga SC kwenye ligi alihusika kwenye mabao mawili, alifunga moja na kutoa pasi moja ya bao.

    Mkataba wa Aucho umegota mwisho baada ya msimu kukamilika. Taarifa zinaeleza kuwa huenda akaongeza mkataba wa mwaka mmoja kusalia ndani ya Yanga SC msimu wa 2025/26.

    Taarifa zinaeleza kuwa mazungumzo na Aucho na Yanga SC yamefikia sehemu nzuri na ataongeza mkataba wa mwaka mmoja kuendelea kuwa katika kikosi hicho chenye jumla ya mataji 31 ya ligi.

    Yanga SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleFEI TOTO RASMI KUCHEZA TIMU HII MSIMU WA 2025/2026
    Next Article FADLU DAVIDS ATAJA NI WACHEZAJI GANI WATABAKI SIMBA

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.