Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป FEI TOTO RASMI KUCHEZA TIMU HII MSIMU WA 2025/2026
    KITAIFA

    FEI TOTO RASMI KUCHEZA TIMU HII MSIMU WA 2025/2026

    ChikaoBy ChikaoJuly 16, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    FEISAL Salum kiungo mshambuliaji wa Azam FC kuna asilimia ndogo kuondoka kwenye viunga hivyo kutokana na dau ambalo mabosi wamemuongezea kuelekea msimu wa 2025/25.

    Taarifa zilikuwa zinaeleza kuwa kiungo huyo asilimia kubwa ataondoka hapo na timu ambayo ilikuwa inatajwa kwa ukaribu ilikuwa ni Simba SC.

    Mkataba wake na Azam FC ni mwaka mmoja umebaki hivyo atautumia wote kuwa hapo msimu ujao. Simba SC inatajwa kuwa jitihada za kumpata mchezaji huyo zimegonga mwamba.

    Rekodi zinaonyesha kuwa Feisal ni kiungo namba moja kwenye kutengeneza pasi nyingi ambazo ni 13 za mabao. Pasi yake ya kwanza alitoa kwenye mchezo dhidi ya KMC FC alimpa mshikaji wake Idd Nado.

    Ni mabao manne alifunga msimu wa 2024/25 hivyo kahusika kwenye mabao 17 kati ya 56 yaliyofungwa na timu hiyo iliyomaliza ligi ikiwa nafasi ya tatu na pointi 63. Baada ya kucheza mechi 30 ambazo ni dakika 2,700 alianza kikosi cha kwanza mechi 26.

    Hivi karibuni, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano, Azam FC, Thabit Zakaria aliweka wazi kuwa Feisal atakuwa ndani ya kikosi hicho kwa msimu wa 2025/26.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMWAMBA HUYU WA KAZI KUSAINI YANGA SC
    Next Article ISHU YA AUCHO NA YANGA YAFIKIA HAPA KWA SASA

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.