KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge, amesema kikosi chake kinafahamu vizuri ubora wa Simba, huku akisisitiza kuwa mchezo wao wa leo utakuwa na hadhi ya…
Browsing: Azam FC
Klabu ya Azam FC imetangaza rasmi kukamilisha usajili wa mshambuliaji chipukizi, Aimar Hafidh Abubakar, maarufu kama ‘Haaland’, akitokea klabu ya Mlandege FC ya Zanzibar katika dirisha…
Florent Ibenge Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa wachezaji walijitoa kwa asilimia kubwa licha ya kukosa matokeo kwenye mchezo wa CAF Confideration Cup. Baada ya…
Bodi ya Azam Football Club, imemtangaza, Octavi Anoro, (42), kama Mtendaji Mkuu (CEO) mpya wa klabu, kwa mkataba wa miaka miwili, hadi 2027. Nafasi hiyo ilikuwa…
Klabu ya Azam FC siku ya leo itakuwa uwanjani majira ya saa 10:15 jioni kusaka tiketi ya kufuzu hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika…
Kiungo mshambuliaji wa Azam FC na timu ya Taifa ya Tanzania, Feisal Salum maarufu kama FeiToto, ameongeza kandarasi yake ya kuitumikia klabu hiyo kwa msimu mmoja…
Mshambuliaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania @taifastars_ Nassor Saadun ameongeza mkataba wa kuendelea kuitumikia Azam FC hadi mwaka 2027. Nyota huyo mwenye umri wa miaka…
PAZIA la Ligi Kuu Tanzania Bara ya NBC ambayo ni namba nne kwa ubora linakaribia kufunguliwa ikiwa ni siku zinahesabiki kwa kuwa Septemba 17 kazi inatarajiwa…
AZAM FC wakiwa nchini Rwanda ambapo wameweka kambi wanatarajiwa kushiriki michuano ya Inkera Y’abahizi baada ya kualikwa na wenyeji wao APR FC na leo Agosti 19…
Leo Alhamisi, kikosi cha Azam FC kikiwa Karatu, mkoani Arusha, kimehitimisha kambi yake ya wiki mbili ya maandalizi ya msimu mpya kwa mtindo wa kipekee –…