Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » AZAM FC KUANZA KAZI LEO RWANDA MECHI DHIDI YA APR FC
    KITAIFA

    AZAM FC KUANZA KAZI LEO RWANDA MECHI DHIDI YA APR FC

    ChikaoBy ChikaoAugust 19, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    azam
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    AZAM FC wakiwa nchini Rwanda ambapo wameweka kambi wanatarajiwa kushiriki michuano ya Inkera Y’abahizi baada ya kualikwa na wenyeji wao APR FC na leo Agosti 19 2025 watakuwa na kibarua kuhesabu mechi nne za ushindani.

    Ipo wazi kwamba Azam FC inapeperusha bendera ya Tanzania kwenye anga la kimataifa ikiwa ni katika Kombe la Shirikisho na inashiriki Ligi Kuu Tanzania Bara ya NBC ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika.

    Leo Azam FC inatarajiwa kucheza na Police FC, mechi ya pili itakuwa dhidi ya AS Kigali Agosti 21, watakutana na wenyeji APR, Agosti 24 2025.

    Kete ya nne kukamilisha dakika 360 kwa Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu, Florent Ibenge inatarajiwa kuwa dhidi Vipers ya Uganda Agosti 29 2025.

    Timu hiyo imefanya usajili mkubwa kuelekea msimu mpya wa 2025/26 unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Miongoni mwa wachezaji waliopo katika kikosi hicho ni Sadio Kanoute ambaye aliwahi kucheza Simba SC, Fofana ambaye ni kipa na Barakat hawa wote wamesaini dili la miaka miwili.

    Azam FC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticlePITIA MAGAZETI YA MICHEZO LEO TAREHE 19 AGOSTI 2025
    Next Article MAEMA AWAWAKIA WAANDISHI KISA PENATI ZA UGANDA

    Related Posts

    YANGA, AZAM FC USO KWA USO KUSAKA FAINALI YA MUUNGANO

    April 25, 2026

    SIMBA YASHIKA NAFASI YA 19 DUNIANI, IPO LEVO ZA MADRID

    April 25, 2026

    TAREHE PAMOJA NA UWANJA AMBAO DABI YA KARIAKOO ITAPIGWA

    April 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    YANGA, AZAM FC USO KWA USO KUSAKA FAINALI YA MUUNGANO

    SIMBA YASHIKA NAFASI YA 19 DUNIANI, IPO LEVO ZA MADRID

    HILI HAPA DAU LA KUMPATA COLE PALMER

    TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMAMOSI TAREHE 25.4.2025

    PRESHA YA KUUKOSA UBINGWA YATAWALA REAL MADRID

    TAREHE PAMOJA NA UWANJA AMBAO DABI YA KARIAKOO ITAPIGWA

    SIMBA SC YAWINDA MAJIBU KWA MLANDAGE, SI KISASI

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.