Everton wametangaza kukamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji Jack Grealish kwa mkopo kutoka Manchester City. Mwingereza huyo mwenye umri wa miaka 29 ataitumikia The Toffees msimu mzima…
Browsing: KIMATAIFA
Bodi ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) imeipiga Kenya faini ya dola 50,000 za Marekani (sawa na takribani TZS milioni 127.8) kutokana na…
Mshambuliaji wa kimataifa wa Sweden Alexander Isak amesisitiza kuwa hatacheza tena Newcastle – hata kama hatapata timu kwenye dirisha hili la uhamisho. Kulingana na David Ornstein,…
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limetishia kuhamisha mechi zilizosalia za Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) kutoka Kenya baada ya kudorora mara kwa mara kwa usalama…
Rais wa Kenya, William Ruto, leo amekutana na kikosi cha Harambee Stars na kutoa ahadi nono kuelekea mechi ya mwisho ya Kundi A ya michuano ya…
Baada ya miaka 9 ya kuwa kwenye mahusiano, nguli wa soka Cristiano Ronaldo amemvalisha rasmi pete ya uchumba mpenzi wake Georgina Rodriguez, hii ikimaanisha kuwa ndoa…
Wote tunajua inapofika hatua ya mikwaju ya penati, ustadi wa golikipa ndio huamua mshindi wa mchezo. Jambo hilo ndilo lililodhihirika juzi kwenye mchezo wa Ngao ya…
Manchester United na Chelsea wapo kwenye mazungumzo ya kuuziana mchezaji Mu-Argentina Alejandro Garnacho. United inamthaminisha Alejandro mwenye umri wa miaka 21 kwa Pauni milioni 50, ingawa…
Baada ya Manchester United kutoa ofa ya kumhitaji kiungo Carlos Baleba, klabu yake yake Brighton imeweka dau la pauni milioni 100 (zaidi ya Tsh Bilioni 320)…
Mshambuliaji wa Real Madrid, Kylian Mbappe amesisitiza kwamba ana njaa ya kupata mafanikio makubwa msimu huu. Mbappe ameyasema hayo kupitia chapisho lake kwenye mtandao wake wa…