Home KIMATAIFA PERCY TAU AVUNJA MKATABA NA QATAR SC, SASA NI MCHEZAJI HURU KIMATAIFA PERCY TAU AVUNJA MKATABA NA QATAR SC, SASA NI MCHEZAJI HURU By Chikao - June 6, 2025 11 0 FacebookTwitterPinterestWhatsApp Percy Muzi Tau amefikia makubaliano kuvunja mkataba wake na Qatar SC baada ya miezi Sita tu klabuni hapo… Tau sasa ni mchezaji huru sokoni anaweza kujiunga na klabu yoyote itayofikia makubaliano nae.