Author: Chikao

Aliyekuwa mshambuliaji wa klabu ya Crystal Palace raia wa Uingereza Eberechi Eze ni rasmi amesaini mkataba wa kuitumikia klabu ya Arsenal kilichosalia tu ni utambulisho. Siku…

Timu ya Simba SC rasmi imemtambulisha kiungoa Neo Maema akitokea katika klabu ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini. Maema ambae anatarajiwa kuongeza nguvu katika nafasi ya…