Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป WATATU WATAMBULISHWA YANGA SC AGOSTI, ASSINKI BEKI MGHANA NDANI
    KITAIFA

    WATATU WATAMBULISHWA YANGA SC AGOSTI, ASSINKI BEKI MGHANA NDANI

    ChikaoBy ChikaoAugust 21, 202502 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    YANGA SC mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika wakiwa na mataji 31 kabatini wametambulisha nyota watatu ndani ya Agosti 2025.

    Katika wachezaji hao usajili ambao ulitikisa ni ule wa beki Mohamed Hussen Zimbwe Jr aliyetambulishwa hapo akitokea kikosi cha Simba SC baada ya mkataba wake kugota mwisho msimu wa 2024/25.

    Leo Agosti 21 2025 Yanga SC imtambulisha nyota mpya kuelekea msimu wa 2025/26 ambaye ni beki wa kati. Anaitwa Frank Assinki ambaye ni raia wa Ghana na msimu wa 2024/25 alikuwa ndani ya kikosi cha Singida Black Stars.

    Ikumbukwe kwamba mchezaji wa kwanza kutambulishwa Agosti alikuwa ni Nahodha wa Simba SC 2024/25 Mohamed Hussen Zimbwe Jr alitambulishwa Yanga SC Agosti 6 2025 saa sita usiku.

    Zimbwe Jr alitwaa tuzo ya beki bora msimu wa 2021/22. Ana tuzo ya MVP msimu wa 2016/17. Msimu wa 2023/24 alikuwa kwenye kikosi bora cha msimu ni mchezaji bora ambaye atakuwa na uzi wa Yanga SC 2025/26.

    Mchezaji wa pili kutambulishwa Yanga SC ilikuwa ni Agosti 15 2025 Yanga SC ilimtambulisha rasmi winga Edmund John kutoka Singida Black Stars. Nyota huyo alitambulishwa kwenye mchezo wa kirafiki kati ya Rayon Sports 1-3 Yanga SC. Kwenye mchezo huo Edmund aliazia benchi.

    Yanga SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleRAIS SAMIA AWAPA TAIFA STARS MILIONI 200 KABLA YA KUMENYANA NA MOROCCO
    Next Article HUYU HAPA RASMI MAEMA ATAMBULISHWA SIMBA

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.