Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » TANZANIA KWENYE VITA UWANJANI NA MOROCCO CHAN 2024
    KITAIFA

    TANZANIA KWENYE VITA UWANJANI NA MOROCCO CHAN 2024

    ChikaoBy ChikaoAugust 22, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars leo Agosti 22 2025 ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali dhidi ya Morocco ikiwa ni CHAN 2024.

    Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa saa mbili usiku huku benchi la ufundi la Stars likibainisha kuwa lipo tayari kuhakikisha matokeo yanapatikana ndani ya dakika 90.

    Hemed Suleman, Kocha Mkuu wa Stars amesema wanatambua kwamba mchezo hautakuwa mwepesi kutokana na ugumu wa hatua waliyopo lakini wapo tayari kwa ajili ya kupata matokeo mazuri.

    “Nimefarijika kuona tunatengeneza nafasi suala la kutuma nafasi bado tunaendelea kuhakikisha tunapamana nalo, kabla ya mashindano nilisema kuna changamoto katika umaliziaji lakini nashukuru tunaendelea vizuri tumefunga mabao matano katika hatua ya makundi.

    “Tunarudi katika robo fainali ni mechi ya maamuzi tunatkiwa kufunga magoli kwahiyo wachezaji wanaendelea kufanya mazozi ya kuona kila nafasi tunayopata tunaitumia. Wapinzani tunawaheshimu hivyo tutahakikisha tunapata matokeo kenye mchezo wetu muhimu.”

    Taifa Stars
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticlePITIA MAGAZETI YA MICHEZO LEO TAREHE 22 AGOSTI 2025
    Next Article STARS ICHEZE UWANJANI MASHABIKI WACHEZE JUKWAAMI

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.