HomeKITAIFAJUMAPILI IMEFIKA YA JAMBO ZITO LA KITAIFA

JUMAPILI IMEFIKA YA JAMBO ZITO LA KITAIFA

Naibu Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu katika bunge jana Tarehe 24, May alikumbusha bunge hilo kuwa Jumapili ya leo kuna jambo muhimu la kitaifa.

Akizungumza wakati akihitimisha shuguli za bunge, Zungu amesema historia inakwenda kuandikwa siku ya Jumapili.

Ifahamike kwamba Jumapili kikosi cha Simba kitacheza fainali ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane ya Morocco.

Mchezo wa kwanza Simba ilipoteza 2-0, lakini wanaamini watapindua meza na kutwaa ubingwa siku ya leo Jumapili visiwani Zanzibar.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Most Popular

Recent Comments

Web Development Company in Kochi,Kerala on NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE