Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป MZIZE RASMI KUSEPA KWENYE TIMU HII HAPA
    KITAIFA

    MZIZE RASMI KUSEPA KWENYE TIMU HII HAPA

    ChikaoBy ChikaoMay 24, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    mzize
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    BAADA ya kiungo mshambuliaji wa Yanga SC Aziz Ki taarifa kueleza kuwa anaondoka ndani ya kikosi hicho kuelekea Wydad inaelezwa kuwa kuna nyota mwingine tena anaondoka katika kikosi hicho.

    Aziz Ki amekuwa kwenye mwendo mzuri ndani ya Yanga SC akiwa kacheza jumla ya mechi 114 na kutoa pasi 57 za mabao huku akifunga jumla ya mabao 32.

    Ni Clement Mzize chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Miloud Hamdi anatajwa kuwa kwenye hesabu za mabosi wa Zamalek ambao wanahitaji kupata huduma yake.

    Mshambuliaji huyo kafunga jumla ya mabao 13 kwa msimu wa 2024 kwenye ligi akiwa ni mzawa namba moja mwenye mabao mengi.

    Mbali na Zamalek inaelezwa kuwa mabosi wa Kaizer Chiefs wanahitaji huduma ya mshambuliaji huyo ambaye mguu wakwe wenye nguvu ni ule wa kulia na bao lake la kwanza msimu wa 2024/25 alifunga mbele ya Kagera Sugar, Uwanja Kaitaba ambapo alianzie benchi kwenye mchezo huo.

    Alipachika bao la pili akitumia pasi ya kiungo mshambuliaji Aziz Ki baada ya dakika 90 ubao ukasoma Kagera Sugar 0-2 Yanga SC.

    Yanga SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleYANGA SC NA SIMBA SC MAMBO MAGUMU KWENYE LIGI 2024/25
    Next Article JUMAPILI IMEFIKA YA JAMBO ZITO LA KITAIFA

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.