HomeKITAIFAKATIKA ARDHI YA TANZANIA MNYAMA SIMBA, HAJAWAHI SHINDWA KITU

KATIKA ARDHI YA TANZANIA MNYAMA SIMBA, HAJAWAHI SHINDWA KITU

Katika ardhi ya Tanzania Mnyama Simba hajawahi kushindwa kitu. Mifano iko mingi. Mingi mno. Naamini kila shabiki wa Simba SC atatimiza jukumu pake mama kimsingi.

Kushangilia na kuzomea, lakini wachezaji ndio wafanisi wenyewe kwenye vita hii ya kihistoria katika nchi na klabu kiujumla. Wachezaji ndio waliobeba dhamana na matumaini ya kubakisha kombe nyumbani au kombe liondoke.

Wafahamu fika historia itawakunbuka kwa mengi, lakini kumfanya Simba SC ainue kwapa la Kombe la Shirikisho historia itawakumbuka na kuwapa heshima zaidi.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Most Popular

Recent Comments

Web Development Company in Kochi,Kerala on NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE