Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป LIVERPOOL ILIMCHELEWESHA SANA LUIS DIAZ
    KITAIFA

    LIVERPOOL ILIMCHELEWESHA SANA LUIS DIAZ

    ChikaoBy ChikaoFebruary 10, 202601 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Diaz
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    LUIS DIAZ yupo kiwango bora cha maisha yake akiwa na Bayern Munich hii ni ‘material’ ya Ballond’or kabisa, tangu atue kwa wabishi hao wa soka la Ujerumani amekuwa nyota muhimu mno kwenye kikosi hicho.

    Hadi sasa amehusika kwenye mabao 30 ndani ya michezo 30 aliyoiwakilisha nembo ya mabosi zake.

    Kama Bayern Munich watashinda mataji makubwa na timu yake ya taifa ya Colombia ikafanya vizuri kwenye Kombe la Dunia basi huenda tukazungumza mengine kwenye Ballon d’or mwaka huu.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleLOEMBA, CHAMA KUWA PAMOJA LIGI KUU HAITAELEWEKA
    Next Article ROONEY AMTABIRIA MABAYA ARTETA, AMSHAURI APIGE KAZI

    Related Posts

    KOCHA WA YANGA HAELEWI, VIONGOZI WABADILISHA UELEKEO

    March 25, 2026

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    TETESI: TIMU YA MESSI YAMFUKUZIA BERNARDO SILVA

    KOCHA WA YANGA HAELEWI, VIONGOZI WABADILISHA UELEKEO

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.