Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » Rais Karia Amtimbia Gamondi Mazoezini, Amkumbusha Haya
    KITAIFA

    Rais Karia Amtimbia Gamondi Mazoezini, Amkumbusha Haya

    ChikaoBy ChikaoNovember 11, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Rais wa TFF, Wallace Karia ametembelea mazoezi ya Timu ya Taifa @Taifastars_ inayojiandaa na mchezo wa kirafiki kwenye kalenda ya FIFA dhidi ya Kuwait utakaochezwa Novemba 15,2025 Nchini Misri.

    Taifa Stars ambao wameingia kambini siku ya jana wanafanya mazoezi katika dimba la Gymkhana kabla ya kusafiri kuelekea Nchini Misri kwa ajili ya mchezo huo.

    Taifa Stars
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleALIEWAHI KUWA CEO WA SIMBA NA YANGA, ATUA TRA
    Next Article Mukwala Mambo Bado Magumu Simba, Shida Nini!!?

    Related Posts

    matokeo ya Azam FC vs Yanga SC Leo 25/04/2026

    April 26, 2026

    YANGA, AZAM FC USO KWA USO KUSAKA FAINALI YA MUUNGANO

    April 25, 2026

    SIMBA YASHIKA NAFASI YA 19 DUNIANI, IPO LEVO ZA MADRID

    April 25, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    matokeo ya Azam FC vs Yanga SC Leo 25/04/2026

    YANGA, AZAM FC USO KWA USO KUSAKA FAINALI YA MUUNGANO

    SIMBA YASHIKA NAFASI YA 19 DUNIANI, IPO LEVO ZA MADRID

    HILI HAPA DAU LA KUMPATA COLE PALMER

    TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMAMOSI TAREHE 25.4.2025

    PRESHA YA KUUKOSA UBINGWA YATAWALA REAL MADRID

    TAREHE PAMOJA NA UWANJA AMBAO DABI YA KARIAKOO ITAPIGWA

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.