Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » Mukwala Mambo Bado Magumu Simba, Shida Nini!!?
    KITAIFA

    Mukwala Mambo Bado Magumu Simba, Shida Nini!!?

    ChikaoBy ChikaoNovember 12, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Msimu wa 2025/26 umeendelea kuwa mgumu kwa mshambuliaji wa Simba SC, Steven Mukwala, ambaye bado hajafanikiwa kufungua akaunti ya mabao kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara.

    Mukwala hajaonyesha ubora unaotarajiwa kutoka kwake, licha ya kupata nafasi kadhaa za kufunga katika mechi za ushindani. Kwenye mchezo dhidi ya JKT Tanzania uliochezwa Novemba 8, 2025, straika huyo alikosa nafasi tatu za wazi, moja kati ya hizo ikiwa ni clear chance ambayo alishindwa kutumia vyema na badala yake kumpasia mlinda mlango wa JKT Tanzania aliyeokoa hatari hiyo.

    Mchezaji huyo alitumia dakika 60 uwanjani kabla ya nafasi yake kuchukuliwa na Jonathan Sowah, ambaye alifunga bao la ushindi kwa kutumia pasi safi kutoka kwa kiungo mshambuliaji Morice Abraham.

    Kwa sasa, Simba SC ipo nafasi ya pili katika msimamo wa ligi baada ya michezo mitatu, ikiwa imefunga jumla ya mabao nane na kukusanya pointi tisa. Mukwala amecheza mechi mbili kati ya tatu za msimu huu, huku akikosekana katika mchezo mmoja.

    Simba SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleRais Karia Amtimbia Gamondi Mazoezini, Amkumbusha Haya
    Next Article Hawaongozi Ligi, Ni Wamecheza tu Mechi Nyingi

    Related Posts

    matokeo ya Azam FC vs Yanga SC Leo 25/04/2026

    April 26, 2026

    YANGA, AZAM FC USO KWA USO KUSAKA FAINALI YA MUUNGANO

    April 25, 2026

    SIMBA YASHIKA NAFASI YA 19 DUNIANI, IPO LEVO ZA MADRID

    April 25, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    matokeo ya Azam FC vs Yanga SC Leo 25/04/2026

    YANGA, AZAM FC USO KWA USO KUSAKA FAINALI YA MUUNGANO

    SIMBA YASHIKA NAFASI YA 19 DUNIANI, IPO LEVO ZA MADRID

    HILI HAPA DAU LA KUMPATA COLE PALMER

    TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMAMOSI TAREHE 25.4.2025

    PRESHA YA KUUKOSA UBINGWA YATAWALA REAL MADRID

    TAREHE PAMOJA NA UWANJA AMBAO DABI YA KARIAKOO ITAPIGWA

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.