Home KIMATAIFA KINDA WA AJAX AVITOA UDENDA VILABU VIKUBWA DUNIANI

KINDA WA AJAX AVITOA UDENDA VILABU VIKUBWA DUNIANI

120
0
Ajax

JIUNGE KWENYE WHATSAPP CHANNEL YA SIMULIZI ZA SAUTI ZA WAKUBWA TU BONYEZA HAPA KUJIUNGA

Kinda wa Klabu ya Ajax, Aaron Bouwman anaripotiwa kuvivutia vilabu vikubwa duniani.

Kwa mujibu wa taarifa, kinda huyo mwenye umri wa miaka 18 anafuatiliwa na Chelsea, Manchester United, Barcelona, ​​Liverpool na Manchester City.

Beki huyo wa kati alijiunga na Ajax mwaka 2018 na akacheza kwa mara ya kwanza Jong Ajax (timu ya pili ya Ajax) kwenye msimu wa 2023-24.

Baada ya kuwachezea mechi 15, kijana huyo ambaye ana baba Mholanzi na mama Mjamaika, amefuzu kwenye kikosi cha kwanza cha Ajax.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here