Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » YANGA SC MWENDO WA TUNAPIGA KICHWANI TU
    KITAIFA

    YANGA SC MWENDO WA TUNAPIGA KICHWANI TU

    ChikaoBy ChikaoSeptember 5, 202502 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    wiki ya wananchi yanga
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga SC ameweka wazi kuwa kwa sasa Yanga SC hakuna suala la kupeana matumaini bali ni mwendelezo wa dozi pale ambapo waliishia.

    Ipo wazi kwamba Yanga SC ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara kuelekea msimu mpya wa 2025/26. Kwa sasa wana jambo kubwa la Wiki ya Mwananchi ambalo linatarajiwa kufanyika Uwanja wa Mkapa Septemba 12 2025.

    Yanga SC itacheza mchezo wa kirafiki na Klabu ya Bandari ya Kenya na kwa sasa wanaendelea na hamasa kuelekea kilele cha Wiki ya Mwananchi na slogan yao inasema Tunapiga Kichwani Tu.

    “Wanayanga sasa wamevuka level ya kuwa na Slogan za kupeana matumaini, tumekubaliana huu ni msimu wa vitendo na tumegundua watu bado wanataka dozi, kuanzia sasa tunaenda kupiga kichwani tu. Hiyo ndio slogan yetu, Tukipiga kichwani tunacheza na ufahamu. Mwaka huu ni kichwa tu, tumeweka kabisa nyundo kwa ajili ya wale wanaokaza fuvu.

    “Kwa upande wa tiketi, mashabiki wa Yanga SC waendelee kukata tiketi kwa kuwa kila kitu kinakwenda sawa.Kulikuwa na changamoto mwanzo lakini kwa sasa kila sehemu wapo wanaouza tiketi. Na ukiona mwamvuli wenye nembo ya Wiki ya Mwananchi wewe kata tiketi.”

    Katika uzinduzi wa Wiki ya Mwananchi, Septemba 3 2025 Mbagala, mashabiki wengi wa Yanga SC walijitokeza na kulikuwa na burudani kali kinomanoma siku hiyo na sasa zinahesabiwa siku kabla ya tukio lenyewe kukamilika.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleSAFU MPYA YA UONGOZI SIMBA SC IPO HIVI
    Next Article CLATOUS CHAMA KUWAPA FURANGA SINGIDA BLACK STARS

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.