Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » TAIFA STARS KUINGIA KAZINI LEO
    KITAIFA

    TAIFA STARS KUINGIA KAZINI LEO

    ChikaoBy ChikaoSeptember 5, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    stars
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars leo Septemba 5 2025 kitakuwa kazini kwenye mchezo dhidi ya Congo Brazzaville ambao ni maalumu kwa ajili ya kufuzu kombe la Dunia 2026 utakaochezwa  Uwanja wa Alphonce Masamba Debat.

    Septemba 4 2025 Stars ilifanya mazoezi ya mwisho kwenye uwanja wa ambao utatumika kwa mchezo wa leo kikiwa chini ya Kocha Mkuu, Hemed Suleman.

    Miongoni mwa wachezaji ambao wapo katika kikosi cha Stars ni Simon Msuva, Mbwana Sammatta, Dickson Job, Clement Mzize, Mohamed Hussen, Shomari Kapombe, Nado, Bacca.

    Ikumbukwe kwamba Stars imetoka kushiriki CHAN 2024 ikigotea hatua ya robo fainali na mabingwa walikuwa ni Morocco ambao waliwafungashia virago Stars kwenye hatua ya robo fainali, Uwanja wa Mkapa.

    Septemba 9 2025 Taifa Stars itakuwa na mchezo mwingine dhidi ya Niger ambao unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Amaan, Zanzibar.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleNEYMAR AACHIWA URITHI WA TRIL 2+ NA MTU ASIEMJUA
    Next Article MESSI ATUPIA GOLI 2 MECHI YAKE YA MWISHO ARGENTINA

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.