Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป YANGA SC YAANZA KUISOMA SIMBA SC KUELEKEA KARIAKOO DABI
    KITAIFA

    YANGA SC YAANZA KUISOMA SIMBA SC KUELEKEA KARIAKOO DABI

    ChikaoBy ChikaoAugust 25, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Yanga SC
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC wameanza kupiga hesabu kuelekea mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya Simba SC.

    Mchezo huo unasubiriwa kwa shauku kubwa unatarajiwa kuwa na ushindani ndani ya dakika 90 kwa wababe hao katika uwanja kusaka ushindi.

    Inaelezwa kuwa tayari Kocha Mkuu wa Yanga SC, raia wa Ufaransa, Romain Folz amekabidhiwa video za michezo ya mwisho ya Ligi Kuu Bara ya wapinzani wao Simba SC ambao kwa sasa wapo nchini Misri kwa kambi kuelekea msimu mpya.

    Kwa mujibu wa chanzo kutoka ndani ya Yanga SC, video zaidi ya mbili tayari amepatiwa kocha huyo haraka tayari ameanza kuzipitia pamoja na benchi lake jipya la ufundi kuelekea msimu mpya.

    Chanzo hicho kilisema kuwa lengo la kupitia video hizo ni kwa ajili ya kuziona mbinu za Kocha Mkuu wa Simba SC, Fadlu Davids na wachezaji hatari wa kuchungwa kabla ya kukutana nao Ngao ya Jamii Septemba 16 2025.

    Yanga SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticlePITIA MAGAZETI YA MICHEZO LEO TAREHE 25 AGOSTI 2025
    Next Article JONATHAN SOWAH KUIKOSA KARIAKOO DABI, UKWELI WOTE HUU HAPA

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.