Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » HATMA YA ATEBA KUSALIA SIMBA IMEKAA KWA NAMNA HII
    KITAIFA

    HATMA YA ATEBA KUSALIA SIMBA IMEKAA KWA NAMNA HII

    ChikaoBy ChikaoAugust 19, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    INAELEZWA kuwa kuna uwezekano mkubwa mshambuliaji wa Simba SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids huenda akaachwa katika kikosi hicho kuelekea msimu mpya.

    Simba SC inatajwa kuwa kwenye mazungumzo ya kuachana na mshambuliaji huyo raia wa Cameroon, Lionel Ateba kutokana na kutoridhishwa na mwendo wake msimu uliopita.

    Inaelezwa kuwa mshambuliaji huyo anajiandaa kuondoka kambini Cairo, Misri ambako kikosi hicho kimeweka kambi ya kujiandaa na msimu mpya.

    Ipo wazi kwamba msimu wa 2024/25 Ateba alifunga jumla ya mabao 13 kwenye ligi ya NBC ambayo ni namba nne kwa ubora kati ya mabao 69 yaliyofungwa na timu hiyo iliyogotea nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi.

    Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally alisema kuwa “Taarifa rasmi ya klabu ya kutangaza wachezaji tutakaoachana nao na wapya hivi karibuni itatolewa,”.

    Simba SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleRASMI HII HAPA TAREHE YA SIMBA DAY 2025
    Next Article PITIA MAGAZETI YA MICHEZO LEO TAREHE 19 AGOSTI 2025

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.