Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » MOROCCO KUKUTANA NA MOROCCO, KIVUMBI CHAN 2024
    KITAIFA

    MOROCCO KUKUTANA NA MOROCCO, KIVUMBI CHAN 2024

    ChikaoBy ChikaoAugust 18, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    TIMU ya Taifa ya Tanzania inayofundishwa na Kocha Mkuu, Hemed Suleman maarufu kwa jina la Morocco itacheza na timu ya taifa ya Morocco kwenye mchezo wa robo fainali CHAN 2024 Uwanja wa Mkapa.

    Tanzania inaongoza kundi B ikiwa na pointi 10 baada ya mechi nne ambapo katika mechi hizo ilipata ushindi mechi tatu na kugawana pointi mojamoja kwenye mchezo mmoja Uwanja wa Mkapa.

    Agosti 22 2025 wababe hawa wanatarajiwa kukutana Uwanja wa Mkapa kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa.

    Ikumbukwe kwamba Morocco ilikuwa Kundi A imegotea nafasi ya pili ikiwa na jumla ya pointi 9 baada ya kucheza jumla ya mechi nne katika CHAN 2024. Vinara wa kundi A ni  Kenya iliyokusanya jumla ya pointi 10 sawa na Tanzania.

    Morocco ambaye ni kocha wa Tanzania aliweka wazi kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa hatua ya robo fainali na wanatambua kila kundi lilikuwa na timu ngumu.

    “Kila kundi lilikuwa na timu ngumu hivyo hatuna mashaka na mpinzani wetu. Niliwatazama Kenya, Morocco kila kundi.Kwenye hii michuano hakuna timu nyepesi. Tupo tayari kwa ajili ya kupambana na wachezaji wanatambua hatua inayofuata ni ngumu zaidi.”

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleFOUNTAIN GATE YAANDAA MICHUANO YA KIMATAIFA YA PRE SEASON
    Next Article CLEMENT MZIZE BADO ANA MKATABA NA YANGA

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.