HomeKIMATAIFAPSG KUWAKOSA NYOTA WAKE MUHIMU WATANO MECHI DHIDI YA BARCELONA

PSG KUWAKOSA NYOTA WAKE MUHIMU WATANO MECHI DHIDI YA BARCELONA

Klabu ya PSG imethibitisha kuwakosa wachezaji wake wanne kwenye mchezo wa ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Barcelona siku ya kesho ambao ni Khvicha Kvaratskhelia, Désiré Doué, Marquinhos na Ousmane Dembélé .

Kvaratskhelia alipata jeraha la paja kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Auxerre hivyo ataukosa mchezo huo wakati pia timu hiyo ikiendelea kumkosa mshindi wa Ballon d’Or, Ousmane Dembele, winga Desire Doue na beki wa kati Marquinhos ambao pia wanaendelea kuuguza majeraha yao.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Most Popular

Recent Comments

Web Development Company in Kochi,Kerala on NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE