Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป YAMEBAKI MASAA KUELEKEA DABI YA KARIAKOO
    KITAIFA

    YAMEBAKI MASAA KUELEKEA DABI YA KARIAKOO

    ChikaoBy ChikaoSeptember 15, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Yamebaki masaa kabla ya mchezo wa Kariakoo Dabi kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Septemba 16 2025 ikiwa ni mchezo wa Ngao ya Jamii.

    Ikumbukwe kwamba msimu wa 2024/25 Yanga SC walitwaa taji hilo kwa ushindi kwenye mchezo wa fainali mbele ya Azam FC katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa.

    Simba SC iligotea kuwa mshindi wa tatu kwa kuwa mashindano hayo yaliendeshwa kwa kuanzia hatua ya nusu fainali.Kwenye hatua ya nusu fainali Simba SC ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Yanga SC bao la ushindi likifungwa na Maxi Nzengeli.

    Tayari viingilio vimetangazwa na Shirikisho la Soka Tanzania kuelekea kwenye mchezo huo na Septemba 15 2025 kutakuwa na maandalizi ya mwisho kwa timu zote mbili Yanga SC na Simba SC ambapo mkutano wa benchi la ufundi unatarajiwa kufanyika saa 5:00 asubuhi Uwanja wa Mkapa.

    Mzunguko kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi ni 5,000 huku safari hii kukiwa na tiketi za Platinum ambazo kiingilio chake ni 300,000, VIP A ni 100,000, VIP B ni 30,000, VIP C 20,000 na Orange ni 15,000.

    Simba SC Yanga SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleJEAN AHOUA AINGIA KWENYE MTIHANI MWINGINE SIMBA
    Next Article FADLU ASEMA YANGA NDIO WANA HOFU KULIKO SIMBA

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.