Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » FADLU ASEMA YANGA NDIO WANA HOFU KULIKO SIMBA
    KITAIFA

    FADLU ASEMA YANGA NDIO WANA HOFU KULIKO SIMBA

    ChikaoBy ChikaoSeptember 15, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    fadlu simba
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Kocha Mkuu wa Simba amezungumza na waandishi wa habari kuelekea mchezo wa kesho wa dabi ya kariakoo huku akiweka wazi hawana presha ya mchezo huo ila Yanga ndiyo wenye presha.

    “Sisi tuna faida ya kuwa na benchi lilelile la ufundi lakini tuna wachezaji wapya ambao tunao kwa wiki kama tatu hadi nne na tumekuwa na mazoezi ya pamoja kwa siku chache na waliopo CHAN hivyo naamini tuko vizuri.

    Lakini presha kubwa ipo kwa Yanga kwasababu wana makocha wapya ambao hawajawahi kucheza hii dabi lakini pia presha ya muendelezo wa matokeo yao lakini kwetu hatuna presha kwasababu benchi ni lile lile na wachezaji wapya wanaonekana kuuhitaji mchezo tukichanganya na wazoefu tutakuwa na ‘balance’ nzuri” – Fadlu Davids, Kocha Simba SC

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleYAMEBAKI MASAA KUELEKEA DABI YA KARIAKOO
    Next Article MBOSSO AFUNGUKA ALMANUSURA AFARIKI KISA MAANDALIZI YA SIMBA DAY

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.