Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป KIUNGO MPYA YANGA SC AJIPA KAZI, YANGA DAY INANUKIA
    KITAIFA

    KIUNGO MPYA YANGA SC AJIPA KAZI, YANGA DAY INANUKIA

    ChikaoBy ChikaoSeptember 11, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    yanga
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    YAKIWA yamebaki masaa kabla ya tukio la Yanga Day kufanyika, kiungo mpya katika timu hiyo amejipa kazi nyingine ngumu ili awe imara zaidi.

    Ikumbukwe kwamba kesho Septemba 12, Yanga SC itakuwa na tukio la utambulisho wa wachezaji wapya na wale waliokuwa katika kikosi msimu wa 2024/25.

    Offen Chikola ambaye huyu ni ingizo jipya akitokea Tabora United ameomba ruhusa kwa kocha wake Mfaransa, Romain Folz ya kutoka kambini na kwenda gmy kufanya mazoezi binafsi.

    Kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya Yanga, kiungo huyo ameomba ruhusa ya kufanya mazoezi muda wa mapumziko kwa ajili ya kujiweka sawa kuelekea msimu mpya wa 2025/26/

    Haya yote yanafanyika ili kuwa na nafasi katika kikosi cha kwanza cha Yanga SC ambao ni mabingwa watetezi wa ligi ya NBC ambayo inatarajiwa kuanza Septemba 17 2025.

    Yanga SC kwenye kilele cha Wiki ya Mwananchi wanatarajia kucheza mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya Bandari, Uwanja wa Mkapa.

    Yanga SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticlePITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 11,2025
    Next Article HIKI HAPA KIKOSI RASMI CHA SIMBA SC 2025/26

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.