Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » YANGA SC BADO WAPO SOKONI KUSAKA WACHEZAJI WAPYA
    KITAIFA

    YANGA SC BADO WAPO SOKONI KUSAKA WACHEZAJI WAPYA

    ChikaoBy ChikaoAugust 9, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    KAMA unadhani Yanga SC mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara wamemaliza usajili, bado kazi haijaisha kwa kuwa kuna wachezaji wengine wapya bado hawajatambulisha.

    Ikumbukwe kwamba Yanga SC ni mabingwa mara 31 wa Ligi Kuu Tanzania Bara inayodhaminiwa na NBC hii ni ligi namba nne kwa ubora Afrika.Ni pointi 82 Yanga SC ilikusanya baada ya mechi 30 mafasi ya pili ipo mikononi mwa Simba SC yenye pointi 78 kibindoni.

    Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga SC amesema kuwa bado hawajamaliza usajili kwa msimu wa 2025/26. Tayari Yanga SC imetambulisha wachezaji 9 wapya akiwemo beki wa kushoto Mohamed Hussen Zimbwe Jr, Offen Chikola.

    Zimbwe Jr alikuwa nahodha wa Simba SC msimu wa 2024/25. Msimu wa 2025/26 atakuwa kwenye changamoto mpya ndani ya kikosi cha Yanga SC ambacho kimeweka kambi Dar na kinatarajiwa kuelekea Rwanda kati ya Agosti 13 kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Rayor Sportt.

    Kamwe amesema: “Bado hatujamaliza usajili na kuna wachezaji kama watatu hivi tutamalizana nao na kuwatambulisha. Tunahitaji kuwa na kikosi imara chenye ushindani mkubwa hilo lipo wazi.”

    Yanga SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMAGAZETI YA MICHEZO LEO JUMAMOSI TAREHE 09-08-2025
    Next Article JONATHAN SOWAH ATUMA UJUMBE KWA WANASIMBA

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.