Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป TIMU HII KUCHEZA NA TANZANIA ROBO FAINALI YA CHAN
    KITAIFA

    TIMU HII KUCHEZA NA TANZANIA ROBO FAINALI YA CHAN

    ChikaoBy ChikaoAugust 17, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Burudani za CHAN 2024 zinaendelea hii leo kwa michezo miwili muhimu kupigwa kwenye Kundi A, mechi zote mbili zitapigwa mapema majira ya saa 9 Alasiri katika viwanja viwili tofauti.

    Kwenye dimba la Nyayo utapigwa mchezo kati ya DR Congo dhidi ya Morocco, timu zote zikiwa na alama 6 na kuwania nafasi ya kuungana na Kenya kucheza Robo Fainali.

    Wakati kule Moi Kasarani vinara wa Kundi A, watakuwa na kibarua cha kuisaka nafasi ya kuongoza Kundi hilo wakikipiga dhidi ya Zambia ambao tayari wameaga mashindano hayo.

    Kenya tayari wamefuzu hivyo kibarua pekee ni kusaka alama zitakazofanya waongoze Kundi A, wakati vita kubwa ipo kati ya DR Congo na Morocco wanaotafuta alama zitakazowapa uhakika wa kutinga hatua inayofuata.

    Ikumbukwe kuwa mpinzani wa Stars kwenye hatua ya Robo Fainali anapatikana katika Kundi hili.

    Taifa Stars
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleLeo ni leo EPL, Arsenal kuwavaa Man United
    Next Article FOUNTAIN GATE YAANDAA MICHUANO YA KIMATAIFA YA PRE SEASON

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.