Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » HAJI MANARA AWAVAA WAKENYA KISA KEJERI ZAO KWA STARS
    KITAIFA

    HAJI MANARA AWAVAA WAKENYA KISA KEJERI ZAO KWA STARS

    ChikaoBy ChikaoAugust 19, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Mdau maarufu wa mchezo wa mpira wa miguu Nchini Haji Manara amewajibu waandishi wa habari wa Kenya waliosema Taifa Stars wameumaliza mwendo kwenye mashindano ya CHAN baada ya kupangwa na Morocco.

    “Kwani Sisi Tanzania ni Majirani wa Kenya au Watani zetu ? Au Siku hizi ni Mahasimu wa jadi? Na nani kawaambia wao tayari washafuzu kwa nusu fainali ?

    “Halaf hii lugha ya kusema ngoja niongee kwa kiswahili ni dharau kuonyesha Wabongo hatujui kingereza. Aliowaambia Englisha ndio Alfa na Omega nani? Pls Acheni hayo mambo ndugu zetu, Sisi ni Wamoja na ni mipaka ya kikoloni iliyotufanya tuwe Mataifa mawili tofauti!!”.

    “Ok,Tutawapasua Morocco Ijumaa hii na kuanzia leo ntatumia nguvu kubwa kuhamasisha tukaujaze Uwanja wa Mkapa ambao ndio Baba la Viwanja Afrika Mashariki”.Ameandika Haji Manara.

    Taifa Stars
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleAHMED ALLY: TULIOWATANGAZA HAWAJATOSHA, BADO VYUMA VINAKUJA
    Next Article RAIS WA CAF AMPONGEZA RAIS WA TFF KWA KUREJEA TENA MADARAKANI

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.