Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป MAN CITY WANATAKA PAUNI MILIONI 50 KWA SAVINHO
    KITAIFA

    MAN CITY WANATAKA PAUNI MILIONI 50 KWA SAVINHO

    ChikaoBy ChikaoAugust 12, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Man City
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Klabu ya kaskazini mwa London ya Tottenham sasa inahusishwa na mmoja wa washambuliaji chipukizi bora zaidi wa kiBrazil, Savinho wa Manchester City.

    Kwa mujibu wa The Athletic, Spurs wamewasiliana na Man City kuhusu nia yao ya kumsajili mchezaji huyo na inaelezwa mazungumzo yamekuwa yakiendelea katika siku za karibuni.

    Taarifa zinaweka wazi kuwa City wako tayari kumuuza Savinho ikiwa tu anataka kuhama, na ikiwa hali itakuwa hivyo basi watahitaji dau la pauni milioni 50 ili kumruhusu aondoke.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMBIO ZA KUMPATA BINGWA WA LA LIGA KUANZA 15 AUGUST
    Next Article MAMBO YAANZA KUIVA, SOWAH AANZA KUTUPIA MISRI

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.