Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป Siku ya kihistoria kwa Taifa la Tanzania ufunguzi wa michuano ya CHAN.
    KITAIFA

    Siku ya kihistoria kwa Taifa la Tanzania ufunguzi wa michuano ya CHAN.

    ChikaoBy ChikaoAugust 2, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars itashuka leo dimbani majira ya saa 2 usiku katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kucheza na Timu ya Taifa ya Burkina Faso kwenye mchezo wa kwanza wa kundi B katika ufunguzi wa mashindano ya CHAN 2024.

    CHAN ni Mashindano yanayohusisha wachezaji wa ligi za ndani ambayo kwa mara ya kwanza yanafanyika Afrika Mashariki kwa ushirikiano wa Nchi tatu ambazo ni Tanzania Kenya na Uganda huku Tanzania ikiwa mwenyeji wa mchezo wa ufunguzi.

    Tanzania inakutana na Burkina Faso ambayo haijawahi kupata ushindi dhidi ya Taifa Stars wakiwa nyumbani katika michezo mitatu ya mwisho waliyokutana nayo hivi karibuni tangu mwaka 2006.

    Taifa Stars imeshinda mara mbili 2 dhidi ya Burkina Faso mchezo mmoja wakishinda wakiwa nyumbani na mmoja ugenini huku Burkina Faso wakipata ushindi mara moja wakiwa ugenini.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleBARCELONA YAVUNA ZAIDI YA BILIONI 130 KUITANGAZA CONGO
    Next Article MAGAZETI YA MICHEZO LEO JUMAPILI TAREHE 3-8-2025

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.