Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป SIMBA SC 1-1 RS BERKANE, FAINALI, MEI 25 2025
    KITAIFA

    SIMBA SC 1-1 RS BERKANE, FAINALI, MEI 25 2025

    ChikaoBy ChikaoMay 25, 202502 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    FT: Uwanja wa New Amaan Complex

    Simba SC 1-1 RS Berkane, (1-3)

    RS Berkane wanapata bao la kuweka usawa dakika ya 90.

    Dakika ya 70 Steven Mukwala alipachika bao ambalo VAR limefuta kwa kueleza kuwa alikuwa kwenye mtego wa kuotea.

    Yusuph Kagoma kiungo wa Simba SC ameonyeshwa kadi mbili za njano na kuonyeshwa kadi nyekundu dakika ya 50.

    Mapumziko.

    Simba SC 1-1 RS Berkane, (Agregate 1-3)

    Dakika ya 41 Joshua Mutale anachezewa faulo na Ayoub wa RS Berkane ambaye anaonyeshwa kadi ya njano.

    Fadlu Davids Kocha Mkuu wa Simba SC na Seleman Matola, kocha msaidizi wa Simba SC, Shomari Kapombe beki wa Simba SC wameonyeshwa kadi kila mmoja ya njano dakika ya 35.

    Dakika ya 30 Jean Ahoua anaipiga kona ya pili kwa Simba SC.

    Dakika ya 22 Shomari Kapombe jaribio lake akiwa ndani ya 18 linakwenda nje ya lango.

    Joshua Mutale anafunga bao kwa Simba SC dakika ya 15 kwa mguu wa kushoto akimalizia pasi ya Ellie Mpanzu.

    Dakika 1o Joshua Mutale anapiga pasi ndefu kuelekea lango la RS Berkane inadakwa na kipa

    Dakika ya 9 Yusuph Kagoma alicheza faulo kwa mchezaji wa RS Berkane

    Fainali ya pili Kombe la Shirikisho Afrika.

    SIMBA SC ya Tanzania ina kibarua cha kusaka ushindi mbele ya RS Berkane kwenye mchezo wa fainali Mei 25 2025, kwenye mchezo wa kwanza Mei 17 ubao ulisoma RS Berkane 2-0 Simba SC.

    Simba SC ina kazi kusaka ushindi wa mabao 3-0 ili kutwaa taji hilo ambalo lipo kwenye ardhi ya Tanzania.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleKATIKA ARDHI YA TANZANIA MNYAMA SIMBA, HAJAWAHI SHINDWA KITU
    Next Article XABI ALONSO RASMI ATAMBULISHWA KUWA KOCHA MKUU WA REAL MADRID

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.