Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » CHAN KUWAPA WACHEZAJI AZAM FC
    KITAIFA

    CHAN KUWAPA WACHEZAJI AZAM FC

    ChikaoBy ChikaoJuly 21, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    AZAM FC matajiri wa Dar wamepanga kutumia michuano ya Kimataifa Afrika (Chan) kwa ajili ya kufanya usajili wa msimu ujao wa 2025/26.

    Ipo wazi kwamba CHAN mchezo wake wa ufunguzi unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Agosti 2 kati ya Tanzania ambao ni wenyeji itakuwa dhidi ya Burkina Faso.

    Tayari Azam FC imekamilisha usajili wa kipa mzawa Aishi Manula ambaye alikuwa ndani ya kikosi cha Simba SC amerejea kwa mara nyingin ndani ya kikosi hicho kwa changamoto mpya 2025/26.

    Mkuu wa Kitengo cha Habari cha Azam, Thabit Zakaria amesema kuwa wamepanga kusajili wachezaji wa kigeni wenye uzoefu wa kimataifa wakati wakijiandaa na Kombe la Shirikisho Afrika.

    “Hatutaki kukurupuka katika usajili wetu, hivyo tutazingatia uzoefu wa wachezaji wa kucheza michuano ya kimataifa, hivyo tutatumia Chan kufanya skauti, “amesema Zakaria.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleBELLINGHAM ASHUKURU MADAKTARI KUFANIKISHA UPASUAJI
    Next Article CV YA MOUSSA BALLA CONTE, MCHEZAJI MPYA WA YANGA SC 2025/2026

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.