HomeKIMATAIFAAFCON 2025 kuanza kutimua vumbi rasmi leo Morocco

AFCON 2025 kuanza kutimua vumbi rasmi leo Morocco

Rasmi michuano mikubwa ya soka barani Arika, Kombe la Mataifa Afrika (AFCON 2025) itaanza kutimua vumbi nchini Morocco kuanzia usiku wa leo Jumapili.

Morocco ambao ni wenyeji wa mashindano watashuka uwanjani Prince Moulay Abdellah huko Rabat kurusha kete yao ya kwanza wakati itakapokipiga na Comoros.

Morocco inashika nafasi ya 11 kwenye viwango vya soka vya dunia, huku ikishika namba moja kwa Afrika, wakati Comoros yenyewe inashika nafasi ya 108.

Timu hizo mbili zimewahi kukutana mara nne, ambapo Morocco ilishinda tatu na moja ilimalizika kwa sare.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Most Popular

Recent Comments

Web Development Company in Kochi,Kerala on NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE