Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » YANGA SC KAMILI KIMATAIFA KUWAKABILI WILLIETE
    KITAIFA

    YANGA SC KAMILI KIMATAIFA KUWAKABILI WILLIETE

    ChikaoBy ChikaoSeptember 19, 202502 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    yanga
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    IBRAHIM Bacca beki wa Yanga SC amesema kuwa wapo tayari kwa mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Williete SC ya Angola unaotarajiwa kuchezwa leo Septemba 19 2025.

    Septemba 18 2025 kikosi cha Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Romain Folz kilifanya mazoezi ya mwisho kwa ajili ya mchezo wao wakiwa ugenini.

    “Kila mchezaji yupo tayari na Wananchi waendelee kutuombea kwa ajili ya mchezo wetu tunamshukuru Mungu temefika salama. Nimekuwa hapa kwenye majukumu yangu na nikipata nafasi nitahakikisha tunapata matokeo mazuri ugenini.

    “Kupata nafasi kwenye mechi ambazo tunacheza kwangu ni jambo zuri hasa ukizingatia hii ni kazi yangu. Wachezaji wote tupo tayari na tunapambana kuona kwamba mashabiki wanapata furaha.”

    Bacca alikuwa miongoni mwa wachezaji ambao walianza kikosi cha kwanza kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Simba SC uliochezwa Uwanja wa Mkapa Septemba 16 2025.

    Katika mchezo huo Yanga SC ilipata ushindi wa bao 1-0 ambalo lilifungwa na Pacome kiungo mshambuliaji wa Yanga SC.

    Wiliete SC ni klabu ya Angola inayopatikana huko Benguela. Ingawa ni klabu changa, imethibitisha kasi ya ukuaji wake kwa kushiriki kwenye ligi kuu ya Angola (Girabola), na kushika nafasi za juu kabisa. Kwa upande wa Yanga SC wanauendea mchezo huu wakiwa ni mojawapo ya klabu kubwa.

    Yanga SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleHUU HAPA UKWELI WA FADLU KUONDOKA SIMBA
    Next Article ORODHA YA WACHEZAJI WA SIMBA SC WALIOPO BOTSWANA

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.