Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป HUU HAPA UKWELI WA FADLU KUONDOKA SIMBA
    KITAIFA

    HUU HAPA UKWELI WA FADLU KUONDOKA SIMBA

    ChikaoBy ChikaoSeptember 19, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    fadlu kuondoka simba
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Mchambuzi nguli wa soka nchini, Saleh Jembe kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika taarifa kuhusiana na Kocha wa Klabu ya Simba, Fadlu David’s kuhusu kuondoka klabuni hapo.

    “Hii ndio picha ya mwisho ya Kocha Fadlu David’s ambaye ameamua KUACHIA NGAZI SIMBA”

    “Taarifa zinaeleza aligoma hata kupanda ndege kwenda Botswana”

    “Alipigiwa simu na MO (Dewji) akamsihi asifanye hivyo, ndio akapanda ndege na kufika huko KATANGAZA KUACHANA NA Simba,” kilieleza chanzo, ameandika Saleh Jembe.

    Je, Simba wataweza kumbakisha Fadlu David’s Msimbazi?

    Mpaka sasa bado hakuna taarifa rasmi za kutoka ndani ya klabu ya simba juu ya ukweli wa taarifa hiyo hivyo tuendelee kusubiri na kupitia Sokaleo utapata habari hiyo kwa uharaka pindi tu ikifahamika ukweli wake.

    BONYEZA HAPA KU DOWNLOAD NYIMBO MPYA ZA GOSPEL KILA SIKU

    Simba SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleHABARI KUBWA KATIKA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA I9, 2025
    Next Article YANGA SC KAMILI KIMATAIFA KUWAKABILI WILLIETE

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.