Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป HII HAPA RATIBA YA ANGA LA KIMATAIFA, AZAM FC, SIMBA, YANGA SC, SINGIDA BS
    KITAIFA

    HII HAPA RATIBA YA ANGA LA KIMATAIFA, AZAM FC, SIMBA, YANGA SC, SINGIDA BS

    ChikaoBy ChikaoSeptember 18, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    fadlu kuondoka simba
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    WIKIENDI imechangamka kwenye anga la kimataifa kutokana na timu zote nne kutoka Tanzania kuwa katika kazi.

    Ijumaa, Uwanja wa 11 de Novembro, Wiliete Sports vs Yanga SC, saa 12:00 jioni.

    Simba SC Jumamosi Septemba 20 itakuwa uwanjani kumenyana na Gaborone United saa 2:00 usiku.

    Yanga SC na Simba SC ni katika Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa ni hatua ya awali.

    Azam FC wapo Sudan Kusini watacheza dhidi ya Al Merriekh Bentiu Septemba 20 saa 11:00 jioni.

    Singida Black Stars wapo Reanda watakuwa na mchezo dhidi ya Rayon Sports Septemba 20 2025.

    Azam FC na Singida Black Stars ni katika Kombe la Shirikisho Afrika.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleHII HAPA RATIBA YA NBC PREMIER LEAGUE
    Next Article ALI KAMWE: SIMBA YA SAFARI HII NI MBOVU SANA

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.