Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » MOURINHO ATAJWA KUCHUKUA MIKOBA YA KOCHA MKUU WA BENFICA
    KIMATAIFA

    MOURINHO ATAJWA KUCHUKUA MIKOBA YA KOCHA MKUU WA BENFICA

    ChikaoBy ChikaoSeptember 17, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    mourinho
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Jina la kocha wa zamani wa Chelsea, Jose Mourinho linatajwa huenda likarejea kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya wakati huu ambapo mazungumzo yanaendelea ili akinoe kikosi cha Benfica.

    Benfica ilimtimua kocha wao siku ya Jumanne usiku kufuatia kipigo cha 3-2 walichokipata kutoka kwa klabu ya Qarabag ya Azerbaijani.

    Kwenye mchezo huo Benfica ilitangulia kwa mabao 2-0 lakini iliruhusu wageni wao kupambana na kushinda mchezo huo.

    Bruno Lage katika mwaka wake mmoja kama kocha wa Benfica, aliwaongoza kutwaa Kombe la Ligi ya Ureno na kumaliza katika nafasi ya pili msimu uliopita.

    Rais wa Benfica, Rui Costa amewaambia waandishi wa habari mapema leo kwamba ilikuwa muhimu kubadilisha kocha.

    “Leo tumefikia makubaliano na Bruno Lage kujiuzulu kama mkufunzi wa Benfica … tunaamini ni wakati wa mabadiliko,” Rui Costa alisema.

    “Kuhusu kocha ajaye, tunatarajia kuwa na mpya kwenye benchi Vila das Aves Jumamosi ijayo.

    “Kocha wa Benfica lazima awe mshindi” alisema.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleHabari Kubwa Katika Magazeti ya leo Septemba 17, 2025
    Next Article BAADA YA KUPOTEZA KARIAKOO DABI, SIMBA YATIMKA NCHINI

    Related Posts

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    March 24, 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    March 20, 2026

    RICHARLISON SHUJAA WA TOTTENHAM VS LIVERPOOL, WAIPINGIZA MAKALI

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.