Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป SOWAH NA BAJABER PIGO LINGINE SIMBA
    KITAIFA

    SOWAH NA BAJABER PIGO LINGINE SIMBA

    ChikaoBy ChikaoSeptember 10, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    sowah na bajaber
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Simba itakuwa uwanjani leo Jumatano kwa mara ya kwanza tangu itoke kambini Misri, lakini baada ya mshambuliaji Jonathan Sowah, kuna staa mwingine inaweza kumkosa mbele ya Yanga. Simba itamkosa Sowah kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga, lakini mashabiki wa timu hiyo watamuona mshambuliaji huyo raia wa Ghana kwenye mchezo wa leo wa Tamasha la Simba Day:

    Baada ya Simba Day leo, Septemba 16, 2025 Simba itakutana na Yanga kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii. Wakati leo Simba ikiadhimisha Tamasha la Simba Day pale Uwanja wa Benjamin Mkapa, taarifa mbaya ni kukosekana kwa kiungo fundi wao mpya Mohammed Bajaber.

    Taarifa kutoka Simba ni, Bajaber aliumia tangu akiwa nchini Misri kwenye kambi ya wekundu hao iliyohitimishwa Agosti 28 mwaka huu. Staa huyo aliyesajiliwa na Simba kutoka Kenya Police FC, ataukosa pia mchezo wa leo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Gor Mahia kutoka Kenya kutokana na majeraha hayo. Kiungo huyo ambaye licha ya leo kutambulishwa lakini anatarajiwa kutocheza mechi hiyo ya kirafiki.

    Source: Sports Arena

    Simba SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleKOMBE LA DUNIA 2026: WAFUNGAJI BORA AFRIKA WATAWAPELEKA WAPI MATAIFA YAO?
    Next Article RASMI DEPAY AFIKIA REKODI YA VAN PERSIE UHOLANZI

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.