Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » MAGORI AAHIDI KUIRUDISHA HESHIMA YA SIMBA
    KITAIFA

    MAGORI AAHIDI KUIRUDISHA HESHIMA YA SIMBA

    ChikaoBy ChikaoSeptember 9, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Magori
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba, Crecentius Magori, amesema yeye na wenzake wanakwenda kurudisha heshima ya klabu hiyo nchini na kuendelea kuwa ya kutisha na kuogopwa katika soka la Afrika.

    “Simba ni klabu kubwa sana, ni klabu ambayo haina mfano Tanzania na Afrika Mashariki na Kati. Mimi na mwenzangu hapa mwenyekiti wa Simba, Murtaza Mangungu, huyu bwana ni rafiki yangu sana, watu wanasema maneno mengi, achana na meno, achana na mambo yote, tunakwenda kufanya kazi kubwa na ya maana kwa ajili ya Simba.

    “Kama kweli wewe ni Simba, tunashinda wote, tukikwama ni wote, hakuna kusema fulani amekwama. Nawaomba wanachama kuanzia sasa tuwe kitu kimoja, tupambane. Na yule ambaye hataki tuwe kitu kimoja kuisapoti Simba, tutammulika, ataonekana, atabaki wazi na atakimbia mwenyewe.”

    Kwa hiyo ndugu zangu mikakati ni mingi, mapambano ni makubwa, lakini kwa kazi kubwa tutakayofanya, kwa kudra za Mwenyezi Mungu tutafanikiwa kwa pamoja kuivusha Simba yetu, kurudisha heshima yake kwenye soka la Tanzania na kuendelea kutisha Afrika nzima,” alisema.

    Simba SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleDKT. BITEKO AHIMIZA WANAMICHEZO KUCHUNGUZA AFYA ZAO
    Next Article KINDA WA AJAX AVITOA UDENDA VILABU VIKUBWA DUNIANI

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.