Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » NEYMAR AACHIWA URITHI WA TRIL 2+ NA MTU ASIEMJUA
    KIMATAIFA

    NEYMAR AACHIWA URITHI WA TRIL 2+ NA MTU ASIEMJUA

    ChikaoBy ChikaoSeptember 5, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Nchini Brazil kumeibuka simulizi ya kushtua baada ya bilionea mwenye umri wa miaka 31 kutoka jimbo la Rio Grande do Sul kuamua kumwachia nyota wa soka Neymar Jr mali zake zote, licha ya wawili hao kutokuwa na uhusiano wowote wa karibu au hata kukutana ana kwa ana.

    Kwa taarifa za vyombo vya habari vya kimataifa, kijana huyo tajiri hakuwa na mke wala watoto, na mwezi Juni 2025 aliandika wosia rasmi katika ofisi ya serikali ukiwa na mashahidi. Katika hati hiyo alielekeza majumba, kampuni na vitega uchumi vyake vyote vyenye thamani ya zaidi ya dola bilioni 1 (takribani shilingi trilioni 2.5 za Kitanzania) viende kwa Neymar pekee.

    Sababu ya uamuzi huo imetajwa kuwa ni heshima na imani yake kwa utu wa Neymar, hususan unyenyekevu na ukaribu wake na baba yake, kitu kilichomvutia sana bilionea huyo.

    Kwa sasa, urithi huo mkubwa unasubiri kupitishwa kisheria na mahakama za Brazil kabla ya kuhamishiwa rasmi kwa staa huyo wa Paris Saint-Germain na timu ya taifa ya Brazil.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMBEBA MIKOBA YA AZIZ KI YANGA SC BALAA LAKE ZITO
    Next Article TAIFA STARS KUINGIA KAZINI LEO

    Related Posts

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    March 24, 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    March 20, 2026

    RICHARLISON SHUJAA WA TOTTENHAM VS LIVERPOOL, WAIPINGIZA MAKALI

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.